30.2 C
Dar es Salaam
Friday, March 29, 2024

Contact us: [email protected]

Derulo aachana na mama mtoto wa 50 Cent

Jason DeruloNEW YORK, MAREKANI

MKALI wa muziki wa RnB, Jason Derulo, ameachana na mpenzi wake, Daphne Joy baada ya kuwa kwenye uhusiano kwa miezi saba.

Msanii huyo alianza uhusiano na mwanamitindo huyo baada ya kuachana na rapa 50 Cent aliyezaa naye mtoto mmoja anayejulikana kwa jina la Sire mwenye umri wa miaka mitatu.

Hata hivyo, hadi sasa haijawekwa wazi chanzo cha wawili hao kuachana lakini mashabiki wamedai kwamba wawili hao wameachana kutokana na mrembo huyo kumzidi umri Derulo ambaye ana miaka 26, huku Daphne akiwa na umri wa miaka 29.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles