27 C
Dar es Salaam
Friday, March 29, 2024

Contact us: [email protected]

JK ajadili ugaidi Kenya

Rais Jakaya Kikwete
Rais Jakaya Kikwete

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

RAIS Jakaya Kikwete amewasili jijini Nairobi, nchini Kenya, juzi usiku kuhudhuria mkutano maalumu wa wakuu wa nchi zinazounda Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU), ambalo Tanzania ni mwanachama.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, mkutano huo wa siku moja uliofanyika jana, umejadili ugaidi na athari zake kwa nchi za Afrika.

Mkutano huo ulifanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Kenyatta na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali, akiwamo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles